Breaking News

DC aagiza Mganga wa Zahanati akamatwe



Mkuu wa Wilaya huyo ametoa agizo hilo kufuatia wananchi wa kijiji cha Kibangu kutega mtego ambao ulimnasa Mganga huyo wa zahanati ya Kibanga akiuza dawa zinazotolewa na Serikali ambazo zinapaswa kutolewa bure.

Aidha upelelezi ukikamilika mganga huyo atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo za kuuza dawa za serikali kinyume na utaratibu wa serikali.

No comments